Saturday, 23 May 2015
KITUKO CHA LINEX SUNDAY MJEDA INSTAGRAM
Mapenzi yamekuwa yakichukuwa headlines kubwa duniani ambapo asilimia kubwa nikutendwa na kuendeshwa kisa mapenzi ya dhati kwa mwenza . Kiukweli tukiachana na pesa mapenzi yanatengenezewa vituko vingi ambavyo ni kama sehemu ya kufurahisha-kujifunza na kuonesha ulimwengu kwa vile ambavyo vinaendelea kutokea duniani . Leo msanii hitmaker wa #salima aliyo mshirikisha Diamond Linex kwakupitia instagram yake ameweka picha ambayo nikituko nakuandika kama ifuatavyo........................
"Dear Girl friend naweza kuwa nakupenda sana lakini sio kwa upendo huu ". Ambapo post hiyo ikafuatiwa na comments nyingi kama ifuatavyo
@Zena_kambi-Hiyo ni mahaba niuwe . noma sana
@Kyoma.elia-Hii kali
@Minah_minaj-Tunapenda kunyenyekewa kweli.
@Josiajames57-Duuuh!!! hii balaa
@Erick4real-Hakuna kiivo bora ni mteme .
ENDELEA KUFUATILIA HABARI ZETU KILA SIKU ZA WIKI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment