Social Icons

Pages

Wednesday, 17 August 2016

LADY BRIGHT - SHEBEDUA (Official music audio)



NEW AUDIO: LADY BRIGHT - SHEBEDUA


Tuandikie maoni yako dhidi ya mdundo huo, upate kwa Whatsap 0621879710

Monday, 8 August 2016

TAZAMA PICHA ZA BIRTHDAY YA PRINCES TIFFA MTOTO WA DIAMOND PLATNUMZ


kwenye picha ni Princes Tiffa akiwa na baba yake Naceeb Abdul a.k.a Diamond platnumz

hapo mtoto Tiffa akiwa na mama yake Zari Hassani a.k.a Zari the bosslady,
Ifuatayo ni video clip imeyo pambwa na mpangilio mzuri wenye mkusanyiko wa picha za sherehe ya kuzaliwa mtoto huyo wa mastaa wanao ng'aa barani Afrika kwa sasa...



Saturday, 6 August 2016

KUFURU NA BALAA LA CHURA MAMBO HADHARANI SNURA LIVE KWENYE STAGE

NEW SONG: DIAZ MAN FT STUTA - SHAKE AGAIN


Usisite kutuandikia maoni yako hapa chini na ku share na marafiki

 

x

DIAMOND PLATNUMZ AKANUSHA ALIKIBA KUWA SEHEMU YA KUTOKA KWAKE

staa wa muziki anaye ng'aa kwa sasa kutoka nchini Tanzania Naceeb Abdul a.k.a Diamond platnumz amemkana hit maker wa AJE Alikiba kuwa hakuwa sehemu ya mafanikio yake kutoka katika kuwa msanii chipukizi hadi kuwa msanii maarufu anaye fanya vizuri Afrika kwa sasa.


Akihojiwa na kipindi cha PLANET BONGO cha East Africa radio Platnumz ameweka wazi ya kuwa wakati ana hangaika kwa kipindi kile Alikiba alikuwa chini ya lebo ya G rekodi hivyo isingeweza kuwa rahisi kwa yeye kuweza kum pushi kwa kipindi kile, pia ameweka bayana kuwa kwa kipindi kile haikuwa rahisi kwa msanii kum beba msanii mungine kulingana na hali halisi ilivyokuwa.
msikilize hapa chini


Monday, 1 August 2016

Alikiba awakosha mashabiki wake kwenye harusi

Msanii anayefanya vizuri na wimbo wake wa AJE alio mshirikisha mkali kutoka Nigeria M.I, Alikiba amewakosha mashabiki wake alipo hudhuria katika harusi ya ndugu yake hivi karibuni akiwa na familia yake akiwemo mama yake mzazi, abdu kiba na mdogo wake wa kike, Alikiba aligusa hisia za mashabiki wake baada ya kupewa nafasi ya kutoa neon kwa maharusi na wageni walio alikwa hatimaye kuimba kipande kidogo cha wimbo wake wa ADE na hili ndo lililo tokea....
hatahivyo Alikiba yupo nchini Afrika kusini ambako alienda ku shoot remix video ya ADE  na
 msanii M.I wa Nigeria, hivyo mashabiki wa muziki wa Alikiba wakae mkao wa kula kwa ujio huo wa remix baada ya original video kutoka.

Yule dada wa picha za utupu aweka wazi ukweli wa picha zile

Inawezekana tukawa tunaendelea kufurahia uwepo wa mitandao ya kijamii ingawa kwa namna moja tunaendelea kujitangaza kibiashara na kurahisisha mawasiliano kama moja ya faida ya maendeleo ya teknolojia, katika upande mungine wa sarafu mitandao imekuwa ikitumika vibaya ikiwa ni pamoja na picha za utupu kuwekwa wazi, jambo ambalo lina shusha thamani ya watumiaji kwa namna moja ama Nyingine.
Hivi karibuni zilisambaa picha za utupu zinazo muonesha mwanamke mmoja ivi akiwa na mwanaume kitandani na kuashiria kuwa kuna tendo ambalo lilikuwa linaendelea, picha hizo zilienea sana na kusambazwa Zaidi kwa mtandao wa Whatsapp, hatimaye mwanadada ambaye pia ndo muhusika wa picha zile amepatikana na kufunguka ukweli wa kusambaa kwa picha zile.
Zifuatazo ni videos mbili zinazo muonesha mwanadada huyo akihojiwa na GLOBAL ONLINE TV dhidi ya nini kilicho tokea.......
hiyo ndo sehemu ya kwanza
huo ndo muendelezo wake
ENDELEA KUFUATILIA ___A5.COM & A5TV

Mashabiki watokwa mapovu kwa Baraka de prince

Hitmaker wa SIWEZI ambaye pia ni msanii mpya wa Rock star 4000 BARAKA THE PRINCE hivi karibuni ame break the internet baada ya kuonekana kupigwa chenga na kiingereza katika mahojiano na kituo cha MTV kilichopo Afrika kusini hatimaye kusaidiwa na mpenzi wake anayejulikana kama NAJ, hatimaye wawili hao wameingia katika headlines tena baada ya BARAKA THE PRINCE kupost video katika mtandao wa picha yani Instagram inayo waonesha wawili hao wakiwa katika mahaba mazito  nakupelekea mashabiki kutoa mitazamo tofauti tofauti.
Kwenye picha ni Baraka the Prince na Naj
Kama ulipitwa na video hiyo tazama hapa chini kisha tupe maoni yako........
ENDELEA KUFUATILIA __A5.COM  &  A5TV
 


kidogo ya diamond platnumz yazua kizaa zaa mitandaoni

Staa wa muziki kutoka nchini Tanzania Diamond platnumz anayefanya vizuri kwa sasa na hit yake ya KIDOGO aliyo washirikisha mapacha kutoka Nigeria wanaojulikana kama Psquare, anapitia wakati mgumu kwa sasa katika mitandao ya kijamii kufuatia mapungufu ya video yake mpya ya KIDOGO, Diamond hivi karibuni aliachia video yake mpya na kuijenga furaha kubwa kwa mashabiki wa muziki wake pamoja sura nzima ya muziki wa Afrika mashariki.
Hatimaye furaha imegeuka na kuwa huzuni baada ya wajuzi wa mambo kufuatilia na kugundua kuwa ubora wa chupa hilo mpya ambalo linafanya vizuri katika runinga tofauti tofauti Afrika kuwa ni kopi ya videozi mbalimbali za wasanii wakubwa wa Marekani ikiwemo ya msanii TIGER, tazama uchambuzi huu hapa chini......
ENDELEA KUWA KARIBU NASI KOTE TUNAPO PATIKANA ALAMA YETU NI _ A5TV & A5.COM
 

DADA ALIYE LIWA TIGO NA KUSAMBAA KWA PICHA ZAKE ZA UTUPU ANASWA NA (GLOB...


Tuesday, 14 June 2016

Video; kweli bibi huyu hakunaga


Video; Kahaba laingia kwa bwana wake na siraha zaidi ya nne, nini kitato...


Video; Hermonize aungua akiwa katika mapishi na Wolper


Video; dogo atishiwa na kivuli akadhani nyoka, cheka vunja mbavu


Video; aisee kweli kimombo shida, madogo wamekaza kabisa, cheka vunja mbavu


mkali wa michano na free style hakunaga


Mcheki huyu dogo mburula, lazima ucheke


jamaa anashika sehemu za siri alafu ana nusa nini, staki jibu


Cheka na Joti akiimba KWETU ya Rimond


Yamoto band watisha Magicfm


Muonekano mpya wa studio ya WCB


Yupi mkali kwenye hii stage kati ya Alikiba na Christian bella


Muendelezo Yamoto band wakiimba wimbo wao mpya studio 2


Yamoto band wakiimba wimbo wao mpya live studio 1


Yamoto band wakiimba wimbo wao mpya live studio 1


Maneno ya Diamond platnumz dhidi ya colabo yake na Psquare


Sunday, 12 June 2016

Video; tazama clip iliyotimiza usiku wa staa wa Diamond platnumz na Zar...


Video; tazama jinsi Hermonize alivyo kuwa ana chat na mashabiki wake wa ...


Video; tazama jinsi ambavyo ndege hii ime feli na kuanguka baharini


Video; binti aaibika kwa kutojua ki mombo


Video; Shilole akisha shiba futari hiki ndicho huwa anafanya


Video; mkali wa kucheza na greda


Video; kituko cha Peter msechu na mkewe


Video; huyu jamaa m baya, aisee uskubari ikupite


Vide;tazama ma binti wasasa wavyopenda mambo ya kishirikina


Video; iskupite hii bondia May weather akigawa hela uraiani


Video; huu ndo ubaya wa Damian soul kwenyw gitaa


Video; cheka na mabinti washamba alafu wanajifanya wanajuaaaa

Uskose kufuatilia vituko katika ubunifu wa hali juu kutoka kwa kwa Mr VIJITABIA

Video; Tiffa Dangote aki fosi kuimba na kucheza


Video;wachina watisha kwa teknolojia hii


Video; hakika so kwa tumbo hili


Friday, 8 April 2016

New music audio;Edu boy_Mdumange ft Mr T-touch


Millian wa Kenya akuletea hii akiwa na Diamond platnumz


Msanii mkongwe wa muziki wa RnB kutoka Kenya aja na ngoma nyingine aliyo mshirikisha Diamond platnumz kutoka nchini Tanzania,wimbo unaitwa "Nyota ya Mashariki".
Hivi karibuni nyota wa muziki kutoka Tanzania Naseeb Abdul a.k.a Diamond platnumz amekuwa akipata mashavu tofauti tofauti kutoka kwa wasanii wengi Afrika, hata hivyo wimbo wa "Make me sing" wa kwake Diamond na A K A wa Afrika kusini unafanya vizuri katika kituo kikubwa cha Trace Urban kilichopo nchini Nigeria.

Tazama wimbo huo hapo chini........

Jeshi la polisi la wanasa majambazi mkoani Mbeya

Jeshi la polisi mkoani Mbeya limefanikiwa kuwa kamata majambazi watatu mkoani humo ambao wanakabiriwa na kesi ya uvamizi wa benki ya NMB uliotokea hivi karibuni,tazama Video zinazo onesha majibishano ya risasi kati ya askari na jambazi katika eneo la njia panda mkoani humo.

Sunday, 24 January 2016

Tazama video ya mkenya aliyo mshirikisha star wa muziki kutoka nchini Tanzania,sweet love by Akothe ft Diamond platnumz
TAZAMA LYLICS VIDEO YA DIAMOND PLATNUMZ UTANIPENDA;
star wa muziki anayeiwakirisha vyema bendera ya Tanzania Afrika Diamond platnumz,ameachia video inayotoa tafsiri ya kiingereza katika kile alicho kiimba katika wimbo wake wa utanipenda,tazama video hiyo hapo chini........
VIDEO MPYA YA BARAKA DA PRINCE;SIWEZI
Tazama video ya star wa Bongo flaver kutoka mkoani Mwanza,Baraka da prince ngoma inaitwa siwezi

 
Blogger Templates