Social Icons

Pages

Friday, 8 April 2016

Jeshi la polisi la wanasa majambazi mkoani Mbeya

Jeshi la polisi mkoani Mbeya limefanikiwa kuwa kamata majambazi watatu mkoani humo ambao wanakabiriwa na kesi ya uvamizi wa benki ya NMB uliotokea hivi karibuni,tazama Video zinazo onesha majibishano ya risasi kati ya askari na jambazi katika eneo la njia panda mkoani humo.

No comments:

Post a Comment

 
Blogger Templates