Baada ya siku kadhaa kupita hatimaye wale wakali kwenye Joint moja Iyanya kutoka Nigeria na Diamond platnumz akiiwakirisha Afrika Mashariki na Tanzania leo wameachia video ya collabo yao #Nakupenda. Video imefanyika nchini Nigeriaw na kuongozwa na Mnigeria.Tazama video hiyo hapa chini bila kusahau kuacha maoni yako.....
KARIBU NA ENDELEA KUFUATILIA HABARI ZETU
No comments:
Post a Comment